• Taarifa ya Habari 6 Februari 2025
    Feb 6 2025
    Nchi zaki Arabu, Umoja wa Mataifa na washirika wakaribu wa Marekani wamekosoa pendekezo la Donald Trump kuchukua ukanda wa Gaza, naku tawanya wa Palestina kuwa hatua hiyo ita yumbisha kanda hiyo na kudhoufisha juhudi zakupata suluhu ya nchi mbili.
    Show more Show less
    7 mins
  • Taarifa ya Habari 4 Februari 2025
    Feb 4 2025
    Wanasiasa wame ashiria kufunguliwa kwa Bunge la taifa kwa kuhudhuria ibada katika Kanisa laki Katoliki la Mtakatifu Christopher, mjini Canberra leo asubuhi Jummanne 4 Feb 2025.
    Show more Show less
    19 mins
  • Ongezeko ya gharama ya shule yalazimisha baadhi ya familia kufanya maamuzi magumu
    Feb 4 2025
    Mwaka wa shule wa 2025 uli anza Jummanne 28 Januari katika majimbo ya Queensland na Kusini Australia, wanafunzi wa shule za msingi na upili walirejea shuleni Jumatano 29 Januari katika jimbo la Victoria na Wilaya ya Kaskazini.
    Show more Show less
    9 mins
  • Taarifa ya Habari 3 Februari 2025
    Feb 3 2025
    Waziri wa Kigeni Penny Wong amesema vikwazo vipya vya kufadhili ugaidi kwa mtandoa wa kundi lawa neo-Nazi wa mtandaoni kwa jina la Terrorgram, ni sehemu ya hatua za serikali dhidi ya mashambulizi dhidi ya ubaguzi wa wayahudi pamoja na uhalifu wa chuki.
    Show more Show less
    7 mins
  • Bw Omari "watu wana anza sema wakati wa Kabila ulikuwa afadhali kuliko sasa"
    Feb 3 2025
    Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.
    Show more Show less
    12 mins
  • Taarifa ya Habari 31 Januari 2025
    Jan 31 2025
    Serikali ya shirikisho na Victoria zime tia saini mkataba wa uwekezaji wenye thamani ya dola bilioni $2.5 kwa elimu, ambayo serikali hizo zime sema uwekezaji huo utawasaidia wanafunzi, wafanyakazi pamoja na familia.
    Show more Show less
    19 mins
  • Rais Tshisekedi awarai vijana wajiunge na jeshi kupambana na M23
    Jan 31 2025
    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, amewarai vijana kujiunga kwa wingi na jeshi la taifa kusaidia kupambana na waasi wa M23 wanaojaribu kukamata maeneo makubwa zaidi mashariki mwa nchi hiyo.
    Show more Show less
    7 mins
  • Jaguar "Tunaomba nchi jirani zisaidie kutafuta amani na usalama DRC"
    Jan 28 2025
    Milipuko ya mizinga imeitikisa Goma Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Rwanda na wapiganaji kundi la waasi la M23 kuingia mjini humo.
    Show more Show less
    11 mins